Subscribe For Free Updates!

We'll not spam mate! We promise.

Friday, August 26, 2016

Thierry Henry Mchezaji Wa Zamani Wa Arsenal Kaula Ubelgiji


Kwa mujibu wa Roberto Martinez (Meneja wa timu ya taifa ya Ubelgiji )

amesema nyota wa zamani wa klabu mbili kubwa za Arsenal na Barcelona, 

Thierry, ambaye aling’aa sana akicheza timu ya taifa ya ufaransa kwamba 

atakuwa mmoja wa wasaidizi wake Henry alikuwa mmoja wa wakufunzi wa timu

 ya vijana Arsenal lakini akajiuzulu Julai baada ya meneja Arsene Wenger

 kumwambia kwamba hawezi kufanya kazi hiyo akiwa bado anaendelea kuwa 

mchanganuzi wa soka kwenye runinga.

Please Give Us Your 1 Minute In Sharing This Post!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 comments:

Post a Comment