Subscribe For Free Updates!

We'll not spam mate! We promise.

Friday, August 26, 2016

Msambuliaji wa Tanzania Mbwana Samatta aisaidia timu yake ya GENK kufuzu ligi ya Europa


Ni baada ya klabu yake ya KRC Genk ya Ubelgiji kupata ushindi wa jumla ya mabao 4-2 dhidi ya wapinzani wao Lokomotiva Zagreb ya Croatia. Mechi yao ya kwanza klabu hzo mbili zilitoka kwa sare ya mabao 2-2, na mechi iliyochezwa Alhamisi  timu ya Lokomotiva Zagreb ya Croatia walilala kwa mabao 2 kwa bila . Ikiwa mshambuliaji mbwana Samatta akiwa wa kwanza kufumania nyavu dakika za mwanzo kabisa ya mchezona baola pili likifungwa na mwenzake Leon Bailey dakika chache kutoka mapumziko

Thierry Henry Mchezaji Wa Zamani Wa Arsenal Kaula Ubelgiji


Kwa mujibu wa Roberto Martinez (Meneja wa timu ya taifa ya Ubelgiji )

amesema nyota wa zamani wa klabu mbili kubwa za Arsenal na Barcelona, 

Thierry, ambaye aling’aa sana akicheza timu ya taifa ya ufaransa kwamba 

atakuwa mmoja wa wasaidizi wake Henry alikuwa mmoja wa wakufunzi wa timu

 ya vijana Arsenal lakini akajiuzulu Julai baada ya meneja Arsene Wenger

 kumwambia kwamba hawezi kufanya kazi hiyo akiwa bado anaendelea kuwa 

mchanganuzi wa soka kwenye runinga.